Wasalimishe wale wanaoswali kuelekea Qiblah. Usimkufurishe yeyote kwa dhambi. Usimtoe yeyote nje ya Uislamu kutokana na kitendo. Isipokuwa kukiwa kuna Hadiyth inayosema hivo. Katika hali hiyo Hadiyth hiyo itasimuliwa kama ilivyokuja; tutaisadikisha na kuikubali na kutambua kwamba ni kama ilivyokuja. Mfano wa Hadiyth hizo ni kama zinazozungumzia kuacha swalah na kunywa pombe. Mfano mwingine ni Bid´ah yenye kutumia mwenye nayo ndani ya ukafiri au ikamtoa nje ya Uislamu. Lazimiana na mapokezi katika jambo hilo na wala usizivuke.
Sipendelei kuswali nyuma ya Ahl-ul-Bid´ah wala kumswalia anayekufa miongoni mwao.
- Mhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 48-49
- Imechapishwa: 24/05/2022
Wasalimishe wale wanaoswali kuelekea Qiblah. Usimkufurishe yeyote kwa dhambi. Usimtoe yeyote nje ya Uislamu kutokana na kitendo. Isipokuwa kukiwa kuna Hadiyth inayosema hivo. Katika hali hiyo Hadiyth hiyo itasimuliwa kama ilivyokuja; tutaisadikisha na kuikubali na kutambua kwamba ni kama ilivyokuja. Mfano wa Hadiyth hizo ni kama zinazozungumzia kuacha swalah na kunywa pombe. Mfano mwingine ni Bid´ah yenye kutumia mwenye nayo ndani ya ukafiri au ikamtoa nje ya Uislamu. Lazimiana na mapokezi katika jambo hilo na wala usizivuke.
Sipendelei kuswali nyuma ya Ahl-ul-Bid´ah wala kumswalia anayekufa miongoni mwao.
Mhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 48-49
Imechapishwa: 24/05/2022
https://firqatunnajia.com/06-usiwakufurishe-waislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)