… na Vitabu Vyake… – Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah wanaamini Vitabu vyote vya Allaah alivyoteremsha kwa Mitume. Wanaamini vile walivyovijua kama Tawraat, Injiyl, Zabuur na Qur-aan. Vilevile wanaamini vile wasivyovijua kwa njia ya ujumla. Amesema (Ta´ala):
لَقَدْ أَرْسَلْنَا رُسُلَنَا بِالْبَيِّنَاتِ وَأَنزَلْنَا مَعَهُمُ الْكِتَابَ وَالْمِيزَانَ |
“Kwa yakini Tuliwapeleka Mitume Wetu kwa hoja bayana na Tukateremsha pamoja nao Kitabu na mizani.” (57:25) |
Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah wanaamini kuwa Allaah ameteremsha Vitabu kwa Mitume na kwamba ni haki. Wanaamini vilevile kuwa Vitabu hivyo ni katika maneno ya Allaah (Jalla wa ´Alaa). Miongoni mwa Vitabu hivyo ni pamoja vilevile na Tawraat, Injiyl, Zabuur na Qur-aan. Hivi ni miongoni mwa Vitabu alivyoteremsha.
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
… na Vitabu Vyake… – Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah wanaamini Vitabu vyote vya Allaah alivyoteremsha kwa Mitume. Wanaamini vile walivyovijua kama Tawraat, Injiyl, Zabuur na Qur-aan. Vilevile wanaamini vile wasivyovijua kwa njia ya ujumla. Amesema (Ta´ala):
لَقَدْ أَرْسَلْنَا رُسُلَنَا بِالْبَيِّنَاتِ وَأَنزَلْنَا مَعَهُمُ الْكِتَابَ وَالْمِيزَانَ
“Kwa yakini Tuliwapeleka Mitume Wetu kwa hoja bayana na Tukateremsha pamoja nao Kitabu na mizani.” (57:25)
Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah wanaamini kuwa Allaah ameteremsha Vitabu kwa Mitume na kwamba ni haki. Wanaamini vilevile kuwa Vitabu hivyo ni katika maneno ya Allaah (Jalla wa ´Alaa). Miongoni mwa Vitabu hivyo ni pamoja vilevile na Tawraat, Injiyl, Zabuur na Qur-aan. Hivi ni miongoni mwa Vitabu alivyoteremsha.
Mfasiri: Firqatunnajia.com
https://firqatunnajia.com/06-nguzo-ya-03-kuamini-vitabu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)