Malaika ndio viumbe bora kabisa wa Allaah. Lakini hata hivyo Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah wanaonelea kuwa muumini katika wanaadamu ni bora zaidi kuliko Malaika. Hili ni kwa maafikiano ya Ahl-us-Sunnah. Kwa kuwa wao wamewajibishiwa ´ibaadah na hivyo ni wenye kupewa mtihani wa matamanio. Hivyo wao ni bora kwa njia hii ikiwa kama wataamini na kuwa na msimamo.
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
Malaika ndio viumbe bora kabisa wa Allaah. Lakini hata hivyo Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah wanaonelea kuwa muumini katika wanaadamu ni bora zaidi kuliko Malaika. Hili ni kwa maafikiano ya Ahl-us-Sunnah. Kwa kuwa wao wamewajibishiwa ´ibaadah na hivyo ni wenye kupewa mtihani wa matamanio. Hivyo wao ni bora kwa njia hii ikiwa kama wataamini na kuwa na msimamo.
Mfasiri: Firqatunnajia.com
https://firqatunnajia.com/05-ni-nani-bora-kati-ya-malaika-na-muumini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)