36 – ´Abdullaah bin Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwafunza Tashahhud kisha akasema mwishoni mwake:
“Kisha akachague du´aa itayompendeza na aombe kwayo.”[1]
Kuna maafikiano juu yake.
Imekuja katika tamko la Muslim:
“Kisha achague katika maombi anayotaka.”
MAELEZO
Hadiyth inafahamisha kuwa aombe mahitaji mbalimbali ya Aakhirah na dunia. Hata hivyo aanze kwa du´aa zilizopokelewa ingawa hapana vibaya akiomba du´aa ambazo hazikupokelewa, kwa sababu watu wana haja mbalimbali. Kwa hiyo inajuzu kuomba du´aa ya mali ya halali, mke mwema, nyumba nzuri, kunusuriwa kutokana na dhuluma na mfano wa hayo.
[1] al-Bukhaariy (835) na Muslim (402).
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Ad´iyah wal-Adhkaar, uk. 40
- Imechapishwa: 08/10/2025
36 – ´Abdullaah bin Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwafunza Tashahhud kisha akasema mwishoni mwake:
“Kisha akachague du´aa itayompendeza na aombe kwayo.”[1]
Kuna maafikiano juu yake.
Imekuja katika tamko la Muslim:
“Kisha achague katika maombi anayotaka.”
MAELEZO
Hadiyth inafahamisha kuwa aombe mahitaji mbalimbali ya Aakhirah na dunia. Hata hivyo aanze kwa du´aa zilizopokelewa ingawa hapana vibaya akiomba du´aa ambazo hazikupokelewa, kwa sababu watu wana haja mbalimbali. Kwa hiyo inajuzu kuomba du´aa ya mali ya halali, mke mwema, nyumba nzuri, kunusuriwa kutokana na dhuluma na mfano wa hayo.
[1] al-Bukhaariy (835) na Muslim (402).
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Ad´iyah wal-Adhkaar, uk. 40
Imechapishwa: 08/10/2025
https://firqatunnajia.com/06-kumuomba-allaah-unachotaka-mwishoni-mwa-tashahhud/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket