170 – Abul-Maliyh al-Hudhaliy (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Kikosi cha wanawake kutoka Himsw, kutoka Shaam, waliingia kwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ambapo akasema: “Nyinyi ndio ambao wanawake zenu huingia katika bafu za nje? Nimemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema: “Hakuna mwanamke yeyote atakayevua nguo zake katika nyumba isiyokuwa ya mume wake isipokuwa atakuwa amevunja sitara ilioko kati yake yeye na Mola wake.”[1]
Ameipokea at-Tirmidhiy na tamko ni lake na akasema kuwa Hadiyth ni nzuri, Abu Daawuud, Ibn Maajah na al-Haakim ambaye amesema:
“Swahiyh juu ya sharti za al-Bukhaariy na Muslim.”
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/182-183)
- Imechapishwa: 05/04/2021
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
170 – Abul-Maliyh al-Hudhaliy (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Kikosi cha wanawake kutoka Himsw, kutoka Shaam, waliingia kwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ambapo akasema: “Nyinyi ndio ambao wanawake zenu huingia katika bafu za nje? Nimemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema: “Hakuna mwanamke yeyote atakayevua nguo zake katika nyumba isiyokuwa ya mume wake isipokuwa atakuwa amevunja sitara ilioko kati yake yeye na Mola wake.”[1]
Ameipokea at-Tirmidhiy na tamko ni lake na akasema kuwa Hadiyth ni nzuri, Abu Daawuud, Ibn Maajah na al-Haakim ambaye amesema:
“Swahiyh juu ya sharti za al-Bukhaariy na Muslim.”
[1] Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/182-183)
Imechapishwa: 05/04/2021
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/06-hadiyth-kikosi-cha-wanawake-kutoka-himsw/