169 – Umm-ud-Dardaa´ (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Siku moja wakati nilipokuwa natoka katika bafu za nje nilikutana na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambaye akasema: “Umetokea za wapi, ee Umm-ud-Dardaa´?” Nikasema: “Natokea bafu za nje.” Ndipo akasema: “Naapa kwa Yule ambaye nafsi yangu iko mikononi Mwake kwamba hakuna mwanamke yeyote ambaye atavua nguo zake kusikokuwa katika nyumba ya mmoja katika mama zake, isipokuwa amevunja sitara ilioko kati yake na kati ya Mwingi wa huruma.”
Ameipokea Ahmad na at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Kabiyr” kwa cheni za wapokezi ambao ni wapokezi wa Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/181-182)
- Imechapishwa: 05/04/2021
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
169 – Umm-ud-Dardaa´ (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Siku moja wakati nilipokuwa natoka katika bafu za nje nilikutana na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambaye akasema: “Umetokea za wapi, ee Umm-ud-Dardaa´?” Nikasema: “Natokea bafu za nje.” Ndipo akasema: “Naapa kwa Yule ambaye nafsi yangu iko mikononi Mwake kwamba hakuna mwanamke yeyote ambaye atavua nguo zake kusikokuwa katika nyumba ya mmoja katika mama zake, isipokuwa amevunja sitara ilioko kati yake na kati ya Mwingi wa huruma.”
Ameipokea Ahmad na at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Kabiyr” kwa cheni za wapokezi ambao ni wapokezi wa Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/181-182)
Imechapishwa: 05/04/2021
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/05-hadiyth-siku-moja-wakati-nilipokuwa-natoka-katika-bafu-za-nje/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)