255 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
:كنَّا مع رسولِ الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ -، فقام بلالٌ ينادي، فلمَّا سكت، قال رسول الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ
.”مَن قال مِثلَ ما قال هذا يقيناً دخل الجنة”
“Tulikuwa pamoja na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambapo akasimama Bilaal kutoa adhaana. Aliponyamaza Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
“Atakayesema mfano wa anayosema huyu hali ya kuwa na yakini, basi ataingia Peponi.”[1]
Ameipokea an-Nasaa’iy, Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” na al-Haakim ambaye amesema:
“Cheni ya wapokezi ni Swahiyh.”
[1] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/221-222)
- Imechapishwa: 07/03/2022
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
255 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
:كنَّا مع رسولِ الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ -، فقام بلالٌ ينادي، فلمَّا سكت، قال رسول الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ
.”مَن قال مِثلَ ما قال هذا يقيناً دخل الجنة”
“Tulikuwa pamoja na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambapo akasimama Bilaal kutoa adhaana. Aliponyamaza Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
“Atakayesema mfano wa anayosema huyu hali ya kuwa na yakini, basi ataingia Peponi.”[1]
Ameipokea an-Nasaa’iy, Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” na al-Haakim ambaye amesema:
“Cheni ya wapokezi ni Swahiyh.”
[1] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/221-222)
Imechapishwa: 07/03/2022
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/06-hadiyth-atakayesema-mfano-wa-anayosema-huyu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)