255 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
:كنَّا مع رسولِ الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ -، فقام بلالٌ ينادي، فلمَّا سكت، قال رسول الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ
.”مَن قال مِثلَ ما قال هذا يقيناً دخل الجنة”
“Tulikuwa pamoja na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambapo akasimama Bilaal kutoa adhaana. Aliponyamaza Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
“Atakayesema mfano wa anayosema huyu hali ya kuwa na yakini, basi ataingia Peponi.”[1]
Ameipokea an-Nasaa’iy, Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” na al-Haakim ambaye amesema:
“Cheni ya wapokezi ni Swahiyh.”
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/221-222)
- Imechapishwa: 07/03/2022
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
255 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
:كنَّا مع رسولِ الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ -، فقام بلالٌ ينادي، فلمَّا سكت، قال رسول الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ
.”مَن قال مِثلَ ما قال هذا يقيناً دخل الجنة”
“Tulikuwa pamoja na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambapo akasimama Bilaal kutoa adhaana. Aliponyamaza Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
“Atakayesema mfano wa anayosema huyu hali ya kuwa na yakini, basi ataingia Peponi.”[1]
Ameipokea an-Nasaa’iy, Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” na al-Haakim ambaye amesema:
“Cheni ya wapokezi ni Swahiyh.”
[1] Swahiyh.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/221-222)
Imechapishwa: 07/03/2022
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/06-hadiyth-atakayesema-mfano-wa-anayosema-huyu/