Swalli 06: Anayetaka kukata roho anaelekezwa Qiblah vipi[1]?
Jibu: Analazwa upande wake wa kulia na uso wake unaelekea Qiblah kama anavolazwa kwenye mwanandani.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/101).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 14
- Imechapishwa: 11/12/2021
Swalli 06: Anayetaka kukata roho anaelekezwa Qiblah vipi[1]?
Jibu: Analazwa upande wake wa kulia na uso wake unaelekea Qiblah kama anavolazwa kwenye mwanandani.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/101).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 14
Imechapishwa: 11/12/2021
https://firqatunnajia.com/06-anayetaka-kukata-roho-anaelekezwa-qiblah-vipi/