Swali 05: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kumwelekeza Qiblah anayetaka kukata roho[1]?
Jibu: Ndio, imependekezwa. Ni jambo limependekezwa kwa mtazamo wa wanachuoni. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ka´bah ni Qiblah chenu mliohai na wafu.”[2]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/101).
[2] Abu Daawuud (2874) kwa tamko lisemalo:
”Nyumba Tukufu ni Ka´bah ni Qiblah chenu mliohai na wafu.”
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 13
- Imechapishwa: 11/12/2021
Swali 05: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kumwelekeza Qiblah anayetaka kukata roho[1]?
Jibu: Ndio, imependekezwa. Ni jambo limependekezwa kwa mtazamo wa wanachuoni. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ka´bah ni Qiblah chenu mliohai na wafu.”[2]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/101).
[2] Abu Daawuud (2874) kwa tamko lisemalo:
”Nyumba Tukufu ni Ka´bah ni Qiblah chenu mliohai na wafu.”
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 13
Imechapishwa: 11/12/2021
https://firqatunnajia.com/05-kumwelekeza-maiti-qiblah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)