Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Tambua – Allaah akuogoze katika kumtii
MAELEZO
Maneno yake:
“Tambua.”
ni minajili ya kuzindua. Maana yake kata na uyakinishe. Ni hukumu ya kutoka akilini ya kukata. Elimu ni kuwa na yakini bila ya shaka na kusita. Ambaye anajua na hatendi, ni mpotofu. Anayetenda pasi na elimu, ni mpotofu. Mwongofu ni yule anayefanya matendo kwa elimu na utambuzi.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Qawaa´id al-Arba´ah, uk. 121
- Imechapishwa: 03/03/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)