344 – Ameeleza[1] tena kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
المرأةُ عورةٌ، وإنّها إذا خرجتْ مِن بَيتِها استَشْرَفَها الشيطان ، وإنّها لا تكون أقربَ إلى الله منها في قَعر بيتها
“Mwanamke ni uchi. Hakika mambo yalivyo ni kwamba anapotoka nyumbani kwake basi shaytwaan humfuatishia macho[2]. Anakuwa karibu zaidi na Allaah ndani kabisa ya nyumba yake.”[3]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Awsatw”. Wanaume wake ni wanaume wa Swahiyh.
[1] Bi maana Ibn ´Umar.
[2] Bi maana kumwangalia kwa matarajio ya kumpotosha.
[3] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/260)
- Imechapishwa: 20/12/2023
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)