335 – ´Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh) aliwakhutubia watu siku ya ijumaa akasema:
ثُمّ إنّكم أيها الناس تأكلون شجرتين، لا أراهما إلاّ خَبيثَتَيْن [هذا] البصلَ والثومَ، لقد رأيتُ رسولَ الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ – إذا وجَدَ رِيحَهما مِن الرجلِ في المسجدِ، أمَرَ به فأُخْرِج إلى البقيعِ، فَمن أكلهما فليُمِتْهما طَبْخاً
“Enyi watu! Mnakula miti miwili ambayo siioni isipokuwa ni mibaya: kitunguu maji na kitunguu saumu. Nilimuona Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akihisi harufu yake kutoka kwa mtu aliyeko msikitini, basi huamrisha akatolewa na kupelekwa al-Baqiy´. Yule mwenye kuvila basi avipike.”[1]
Ameipokea Muslim, an-Nasaa´iy na Ibn Maajah.
[1] Swahiyh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/256)
- Imechapishwa: 12/12/2023
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)