234 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´an) amesimulia ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
المؤذنُ يُغفَر له مدى صوتِهِ، ويُصَدِّقُه كلُّ رطْبٍ ويابسٍ
”Muadhini anasamehewa kwa umbali inapofikia sauti yake. Kinamsadikisha kila kilichorutubika na kikavu.”[1]
Ameipokea Ahmad na tamko ni lake, Abu Daawuud na Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake. Imekuja kwa wawili hao:
“Kinamtolea ushuhuda kila kilichorutubika na kikavu.”
Kwa an- Nasaa´iy kuna nyongeza isemayo:
“Aidha analipwa ujira kiasi cha kila ambaye ataswali pamoja naye.”[2]
Imekuja kwa Ibn Maajah:
“Anasamehewa kwa umbali inapofikia sauti yake. Kinamuombea msamaha kila kilichorutubika na kikavu. Kinamuombea msamaha kila kilichorutubika na kikavu.”[3]
Ibn Hibbaan amepokea katika “as-Swahiyh” yake:
”Muadhini anasamehewa kwa umbali inapofikia sauti yake. Kinamuombea msamaha kila kilichorutubika na kikavu. Anayeshuhudia swalah anaandikiwa thawabu ishirini na tano[4] na anasamehewa yaliyo kati yake.”[5]
[1] Nzuri na Swahiyh.
[2] Swahiyh. Hata hivyo Hadiyth hii imepokelewa na al-Baraa´ na sio Abu Hurayrah.
[3] Nzuri na Swahiyh.
[4] Bi maana yule anayeshuhudia swalah ya mkusanayiko kwa adhaana aliotoa.
[5] Nzuri na Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/213-214)
- Imechapishwa: 22/02/2022
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
234 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´an) amesimulia ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
المؤذنُ يُغفَر له مدى صوتِهِ، ويُصَدِّقُه كلُّ رطْبٍ ويابسٍ
”Muadhini anasamehewa kwa umbali inapofikia sauti yake. Kinamsadikisha kila kilichorutubika na kikavu.”[1]
Ameipokea Ahmad na tamko ni lake, Abu Daawuud na Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake. Imekuja kwa wawili hao:
“Kinamtolea ushuhuda kila kilichorutubika na kikavu.”
Kwa an- Nasaa´iy kuna nyongeza isemayo:
“Aidha analipwa ujira kiasi cha kila ambaye ataswali pamoja naye.”[2]
Imekuja kwa Ibn Maajah:
“Anasamehewa kwa umbali inapofikia sauti yake. Kinamuombea msamaha kila kilichorutubika na kikavu. Kinamuombea msamaha kila kilichorutubika na kikavu.”[3]
Ibn Hibbaan amepokea katika “as-Swahiyh” yake:
”Muadhini anasamehewa kwa umbali inapofikia sauti yake. Kinamuombea msamaha kila kilichorutubika na kikavu. Anayeshuhudia swalah anaandikiwa thawabu ishirini na tano[4] na anasamehewa yaliyo kati yake.”[5]
[1] Nzuri na Swahiyh.
[2] Swahiyh. Hata hivyo Hadiyth hii imepokelewa na al-Baraa´ na sio Abu Hurayrah.
[3] Nzuri na Swahiyh.
[4] Bi maana yule anayeshuhudia swalah ya mkusanayiko kwa adhaana aliotoa.
[5] Nzuri na Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/213-214)
Imechapishwa: 22/02/2022
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/04-hadiyth-muadhini-anasamehewa-kwa-umbali-inapofikia-sauti-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)