03. Hadiyth ”Muadhini anasamehewa kwa umbali inapofikia adhaana yake… ”

233 – Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´an) amesimulia ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

يُغفَرُ للمؤذن مُنتهى أذانه، وَيستغفرُ له كلُّ رَطبٍ ويابسٍ سَمِعه

”Muadhini anasamehewa kwa umbali inapofikia adhaana yake. Kinamuombea msamaha kila kilichorutubika na kikavu kilichomsikia.”[1]

Ameipokea Ahmad kwa cheni ya wapokezi Swahiyh pamoja na at-Twabaraaniy katika ”al-Mu´jam al-Kabiyr”.

[1] Swahiyh.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/213)
  • Imechapishwa: 22/02/2022
  • taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy