Ulazima wa funga unaanza pale kunapopambazuka alfajiri ya pili. Nao ni ule weupe unaoonekana katika upeo wa macho na inamalizika kwa kuzama kwa jua. Allaah (Ta´ala) amesema:
فَالْآنَ بَاشِرُوهُنَّ
“Sasa waingilieni… “
Bi maana wake.
وَابْتَغُوا مَا كَتَبَ اللَّـهُ لَكُمْ
“… na tafuteni yale Allaah amekuandikieni.”
Maana ya maneno:
يَتَبَيَّنَ لَكُمُ الْخَيْطُ الْأَبْيَضُ مِنَ الْخَيْطِ الْأَسْوَدِ مِنَ الْفَجْرِ
“… ubainike kwenu uzi mweupe wa alfajiri kutokana na uzi mweusi… “[1]
kubainike weupe wa mchana kutoka katika giza la usiku.
[1] 02:187
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Mulakhasw al-Fiqh (01/374)
- Imechapishwa: 22/03/2021
Ulazima wa funga unaanza pale kunapopambazuka alfajiri ya pili. Nao ni ule weupe unaoonekana katika upeo wa macho na inamalizika kwa kuzama kwa jua. Allaah (Ta´ala) amesema:
فَالْآنَ بَاشِرُوهُنَّ
“Sasa waingilieni… “
Bi maana wake.
وَابْتَغُوا مَا كَتَبَ اللَّـهُ لَكُمْ
“… na tafuteni yale Allaah amekuandikieni.”
Maana ya maneno:
يَتَبَيَّنَ لَكُمُ الْخَيْطُ الْأَبْيَضُ مِنَ الْخَيْطِ الْأَسْوَدِ مِنَ الْفَجْرِ
“… ubainike kwenu uzi mweupe wa alfajiri kutokana na uzi mweusi… “[1]
kubainike weupe wa mchana kutoka katika giza la usiku.
[1] 02:187
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Mulakhasw al-Fiqh (01/374)
Imechapishwa: 22/03/2021
https://firqatunnajia.com/03-lini-huanza-swawm/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket