Swali: Je, swalah ya Tarawiyh imesuniwa kwa watu watatu wanaoeshi mashambani?
Jibu: Ndio, inafaa kwa wale ambao pambizoni mwao hakuna msikiti ambapo wanaweza kuswali ndani yake wakaswali Tarawiyh hata kama watakuwa wawili, watatu au wane. Bali kama atakuwa mmoja inafaa kwake kufanya hivo. Kwa sababu Tarawiyh ni kusimama katika Ramadhaan. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule atakayesimama [nyusiku za] Ramadhaan kwa imani na kwa matarajio basi atasamehewa dhambi zake zilizotangulia.”[1]
[1] al-Bukhaariy (37) na Muslim (759).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Swalaat-it-Taraawiyh, uk. 08-09
- Imechapishwa: 09/04/2022
Swali: Je, swalah ya Tarawiyh imesuniwa kwa watu watatu wanaoeshi mashambani?
Jibu: Ndio, inafaa kwa wale ambao pambizoni mwao hakuna msikiti ambapo wanaweza kuswali ndani yake wakaswali Tarawiyh hata kama watakuwa wawili, watatu au wane. Bali kama atakuwa mmoja inafaa kwake kufanya hivo. Kwa sababu Tarawiyh ni kusimama katika Ramadhaan. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule atakayesimama [nyusiku za] Ramadhaan kwa imani na kwa matarajio basi atasamehewa dhambi zake zilizotangulia.”[1]
[1] al-Bukhaariy (37) na Muslim (759).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Swalaat-it-Taraawiyh, uk. 08-09
Imechapishwa: 09/04/2022
https://firqatunnajia.com/03-je-swalah-ya-tarawiyh-imesuniwa-kwa-watu-watatu-wanaoeshi-mashambani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)