299 – ´Abdullaah bin ´Amr (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
مَن راحٍ إلى مسجد الجماعة؛ فخُطوةٌ تمحو سيئةً، وخُطوةٌ تكتبُ له حسنةً، ذاهباً وراجعاً
“Mwenye kwenda msikitini kuswali mkusanyiko, kila hatua anafutiwa dhambi na kila hatua anaandikiwa tendo jema – kwenda na kurudi.”[1]
Ameipokea Ahmad kwa cheni ya wapokezi nzuri, at-Twabaraaniy na Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake.
[1] Nzuri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/241)
- Imechapishwa: 02/12/2022
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)