586- Qabuus amesimulia kutoka kwa baba yake aliyesema:
“Baba yangu alinituma kwenda kwa ´Aaishah kumuuliza ni swalah gani ambayo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anapenda kuidhibiti zaidi. Akajibu: “Alikuwa akiswali [Rak´ah] nne kabla ya Dhuhr; akirefusha kwazo kisimamo na akifanya uzuri Rukuu´ na Sujuud.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah.
[1] Nzuri kupitia zengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/381)
- Imechapishwa: 09/05/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
586- Qabuus amesimulia kutoka kwa baba yake aliyesema:
“Baba yangu alinituma kwenda kwa ´Aaishah kumuuliza ni swalah gani ambayo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anapenda kuidhibiti zaidi. Akajibu: “Alikuwa akiswali [Rak´ah] nne kabla ya Dhuhr; akirefusha kwazo kisimamo na akifanya uzuri Rukuu´ na Sujuud.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah.
[1] Nzuri kupitia zengine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/381)
Imechapishwa: 09/05/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/03-hadiyth-alikuwa-akiswali-nne/