586- Qabuus amesimulia kutoka kwa baba yake aliyesema:
“Baba yangu alinituma kwenda kwa ´Aaishah kumuuliza ni swalah gani ambayo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anapenda kuidhibiti zaidi. Akajibu: “Alikuwa akiswali [Rak´ah] nne kabla ya Dhuhr; akirefusha kwazo kisimamo na akifanya uzuri Rukuu´ na Sujuud.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah.
[1] Nzuri kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/381)
- Imechapishwa: 09/05/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
586- Qabuus amesimulia kutoka kwa baba yake aliyesema:
“Baba yangu alinituma kwenda kwa ´Aaishah kumuuliza ni swalah gani ambayo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anapenda kuidhibiti zaidi. Akajibu: “Alikuwa akiswali [Rak´ah] nne kabla ya Dhuhr; akirefusha kwazo kisimamo na akifanya uzuri Rukuu´ na Sujuud.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah.
[1] Nzuri kupitia zengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/381)
Imechapishwa: 09/05/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/03-hadiyth-alikuwa-akiswali-nne/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)