Swali: Baadhi ya vijana hawafungi pamoja na wananchi wao katika miji yao. Wanadai kuwa nchi zetu hazifuati Shari´ah na kwa ajili hiyo wanaamua kuifuata Saudi Arabia.
Jibu: Ikiwa hakuna juu yao madhara au hawaleti mpasuko wa mkusanyiko, basi ni jambo zuri. Lakini kunakhofiwa endapo mtu atafunga kivyake na akatangaza funga yake atasababisha mpasuko. Ikiwa hakukhofiwi jambo hilo, basi hapana shaka ni vizuri kufunga na wengine. Lakini mtu anatakiwa apupie kusiwepo mpasuko na magomvi.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 16-17
- Imechapishwa: 17/03/2022
Swali: Baadhi ya vijana hawafungi pamoja na wananchi wao katika miji yao. Wanadai kuwa nchi zetu hazifuati Shari´ah na kwa ajili hiyo wanaamua kuifuata Saudi Arabia.
Jibu: Ikiwa hakuna juu yao madhara au hawaleti mpasuko wa mkusanyiko, basi ni jambo zuri. Lakini kunakhofiwa endapo mtu atafunga kivyake na akatangaza funga yake atasababisha mpasuko. Ikiwa hakukhofiwi jambo hilo, basi hapana shaka ni vizuri kufunga na wengine. Lakini mtu anatakiwa apupie kusiwepo mpasuko na magomvi.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 16-17
Imechapishwa: 17/03/2022
https://firqatunnajia.com/03-funga-na-nchi-yako/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)