Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
na akufanye ni mbarikiwa popote utapokuwa.
MAELEZO
Bi maana akufanye ni mwenye kubarikiwa popote utapokuwa katika matendo yako, katika kuwanufaisha watu, katika nafasi yako na katika uombezi. Kwa msemo mwingine katika kila kitu.
Mtu aliyebarikiwa ni yule ambaye manufaa yake yanaenea kwa wengine katika kuwalisha wenye njaa na kubeba mazito yao na kuwasaidia.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Qawaa´id al-Arba´ah, uk. 118
- Imechapishwa: 03/03/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)