Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Ninamuomba Allaah Mkarimu, Mola wa ´Arshi tukufu, akuhifadhi duniani na Aakhirah,
MAELEZO
Ameanza kitabu hiki kwa du´aa. Hii ni namna ambavyo imamu huyu (Rahimahu Allaah) anawatakia watu kheri ambapo anakufunza na pia anakuombea du´aa.
Amefanya Tawassul kwa Allaah kutokana na utukufu na uola Wake juu ya ´Arshi ambayo ndio kiumbe kilicho juu zaidi na kwa jina Lake tukufu. Amekuombea Allaah akuhifadhi, ee mwanafunzi, duniani na Aakhirah na akuwafikishe katika yale yenye manufaa na dunia na Aakhirah yako. Ambaye anahifadhiwa na Allaah duniani na Aakhirah hupata furaha ambayo hakuna kula khasara baada yake.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Qawaa´id al-Arba´ah, uk. 117
- Imechapishwa: 03/03/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)