174 – al-Bazzaar amepokea kwa cheni ya wapokezi Swahiyh kupitia kwa Ibn ´Abbaas, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambaye amesema:
“Watu aina tatu hawasogelewi na Malaika; mwenye janaba, mlevi na mwanamme ambaye amejitia manukato yaliyokuwa na zafarani na mwenye janaba mpaka atawadhe[1].”[2]
[1] Ibn-ul-Athiyr amesema:
”Ameikataza kwa sababu ni katika manukato ya wanawake.”
[2] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/184)
- Imechapishwa: 05/04/2021
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
174 – al-Bazzaar amepokea kwa cheni ya wapokezi Swahiyh kupitia kwa Ibn ´Abbaas, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambaye amesema:
“Watu aina tatu hawasogelewi na Malaika; mwenye janaba, mlevi na mwanamme ambaye amejitia manukato yaliyokuwa na zafarani na mwenye janaba mpaka atawadhe[1].”[2]
[1] Ibn-ul-Athiyr amesema:
”Ameikataza kwa sababu ni katika manukato ya wanawake.”
[2] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/184)
Imechapishwa: 05/04/2021
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/02-hadiyth-watu-aina-tatu-hawasogelewi-na-malaika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)