175 – Ibn ´Umar amepokea kutoka kwa baba yake (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ambaye ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema pindi Jibriyl alipomuuliza swali juu ya Uislamu:
“Uislamu ni kule kushuhudia ya kwamba hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah na kwamba Muhammad ni Mtume wa Allaah, kusimamisha swalah, kutoa zakaah, kuhiji na kufanya ´umrah, kuoga kutokamana na janaba, kukamilisha wudhuu´ na kufunga Ramadhaan.” Akauliza: “Je, nikiyafanya hayo mimi nitakuwa muislamu?” Akajibu: “Ndio.” Akasema: “Umesema kweli.”[1]
Ameipokea Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake. al-Bukhaariy, Muslim na wengineo wameipokea kwa tamko jengine lisilokuwa hili.
[1] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/185)
- Imechapishwa: 05/04/2021
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
175 – Ibn ´Umar amepokea kutoka kwa baba yake (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ambaye ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema pindi Jibriyl alipomuuliza swali juu ya Uislamu:
“Uislamu ni kule kushuhudia ya kwamba hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah na kwamba Muhammad ni Mtume wa Allaah, kusimamisha swalah, kutoa zakaah, kuhiji na kufanya ´umrah, kuoga kutokamana na janaba, kukamilisha wudhuu´ na kufunga Ramadhaan.” Akauliza: “Je, nikiyafanya hayo mimi nitakuwa muislamu?” Akajibu: “Ndio.” Akasema: “Umesema kweli.”[1]
Ameipokea Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” yake. al-Bukhaariy, Muslim na wengineo wameipokea kwa tamko jengine lisilokuwa hili.
[1] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/185)
Imechapishwa: 05/04/2021
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/01-hadiyth-je-nikiyafanya-hayo-mimi-nitakuwa-muislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)