266 – Sahl bin Sa´d (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
ساعتان تُفتَح فيهما أبوابُ السماء، وقلّما تُرَدُّ على داعٍ دعوتُه؛ عند حضور النِّداةِ ، والصفِّ في سبيل الله
“Kuna saa mbili ambazo hufunguliwa milango ya mbingu. Ni mara chache du´aa itarudishwa du´aa ya mwombaji: pindi kunapokimiwa na katika safu katika njia ya Allaah.”[1]
Imekuja katika tamko jengine:
ثِنْتانِ لا تُرَدّان -أو قلّما يُردّان-: الدعاءُ عند النداءِ، وعند البأْسِ؛ حين يُلحِمُ بعضهم بعضاً
“Mambo mawili hayarudishwi, au ni mara chache yanarudishwa: du´aa wakati kunapokimiwa na wakati wa dhiki ambapo watu wanachinjana.”
Ameipokea Abu Daawuud, Ibn Khuzaymah na Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” ambaye tamko lake limekuja:
“… wakati wa kuhudhuria swalah.”
Ameipokea al-Haakim na akaisahihisha na ameipokea Maalik kutoka kwa Swahabah.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/225-226)
- Imechapishwa: 09/03/2022
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
266 – Sahl bin Sa´d (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
ساعتان تُفتَح فيهما أبوابُ السماء، وقلّما تُرَدُّ على داعٍ دعوتُه؛ عند حضور النِّداةِ ، والصفِّ في سبيل الله
“Kuna saa mbili ambazo hufunguliwa milango ya mbingu. Ni mara chache du´aa itarudishwa du´aa ya mwombaji: pindi kunapokimiwa na katika safu katika njia ya Allaah.”[1]
Imekuja katika tamko jengine:
ثِنْتانِ لا تُرَدّان -أو قلّما يُردّان-: الدعاءُ عند النداءِ، وعند البأْسِ؛ حين يُلحِمُ بعضهم بعضاً
“Mambo mawili hayarudishwi, au ni mara chache yanarudishwa: du´aa wakati kunapokimiwa na wakati wa dhiki ambapo watu wanachinjana.”
Ameipokea Abu Daawuud, Ibn Khuzaymah na Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” ambaye tamko lake limekuja:
“… wakati wa kuhudhuria swalah.”
Ameipokea al-Haakim na akaisahihisha na ameipokea Maalik kutoka kwa Swahabah.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/225-226)
Imechapishwa: 09/03/2022
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/02-hadiyth-kuna-saa-mbili-ambazo-hufunguliwa-milango-ya-mbingu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)