265 – Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

الدعاءُ بين الأذان والإقامة لا يُردُّ

“Du´aa kati ya kuadhini na kukimu hairudishwi.”[1]

Ameipokea Abu Daawuud, at-Tirmidhiy na tamko ni lake, an-Nasaa´iy, Ibn Khuzaymah katika “as-Swahiyh” na Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” amabye ameongeza:

فادْعوا

“… hivyo basi, ombeni.”

[1] Swahiyh kupitia zengine.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/225)
  • Imechapishwa: 09/03/2022
  • taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy