579- Umm Habiybah Ramlah bint Abiy Sufyaan (Radhiya Allaahu ´anhumaaa) amesimulia kwamba amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Hakuna mja yeyote muislamu anayeswali kila siku kwa ajili ya Allaah Rak´ah kumi na mbili ambazo ni za kujitolea – na sio zile za faradhi[1] – isipokuwa Allaah (Ta´ala) atamjengea nyumba Peponi au atajengea nyumba Peponi.”[2]
Ameipokea Muslim, Abu Daawuud, an-Nasaa’iy na at-Tirmidhiy ambaye amezidisha:
“Rak´ah nne kabla ya Dhuhr, mbili baada yake, mbili baada ya Maghrib, mbili baada ya ´Ishaa na mbili kabla ya swalah ya Fajr.”
[1] Hapa ni kwa minajili ya kutilia mkazo na kuondosha ile sintofahamu. Namna hii inatakiwa kufanya wakati kunapohitajia kufanya hivo.
[2] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/455)
- Imechapishwa: 08/05/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
579- Umm Habiybah Ramlah bint Abiy Sufyaan (Radhiya Allaahu ´anhumaaa) amesimulia kwamba amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Hakuna mja yeyote muislamu anayeswali kila siku kwa ajili ya Allaah Rak´ah kumi na mbili ambazo ni za kujitolea – na sio zile za faradhi[1] – isipokuwa Allaah (Ta´ala) atamjengea nyumba Peponi au atajengea nyumba Peponi.”[2]
Ameipokea Muslim, Abu Daawuud, an-Nasaa’iy na at-Tirmidhiy ambaye amezidisha:
“Rak´ah nne kabla ya Dhuhr, mbili baada yake, mbili baada ya Maghrib, mbili baada ya ´Ishaa na mbili kabla ya swalah ya Fajr.”
[1] Hapa ni kwa minajili ya kutilia mkazo na kuondosha ile sintofahamu. Namna hii inatakiwa kufanya wakati kunapohitajia kufanya hivo.
[2] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/455)
Imechapishwa: 08/05/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/01-hadiyth-hakuna-mja-yeyote-muislamu-anayeswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)