Katika mlango huu zipo Hadiyth nyingi, ikiwa ni pamoja na:
591 – “Hakika Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anapomaliza kuswali ´Ishaa na akarudi nyumbani kwake basi huswali Rak´ah nne.”[1]
[1] Swahiyh. Kitendo hichi kimethibiti katika Hadiyth ya Ibn ´Abbaas na nyenginezo ambazo zimepokelewa na al-Bukhaariy na wengineo. Imetajwa katika “Swahiyh Sunan Abiy Daawuud” (1216, 1218 na 1228).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (01/383)
- Imechapishwa: 30/03/2021
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Katika mlango huu zipo Hadiyth nyingi, ikiwa ni pamoja na:
591 – “Hakika Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anapomaliza kuswali ´Ishaa na akarudi nyumbani kwake basi huswali Rak´ah nne.”[1]
[1] Swahiyh. Kitendo hichi kimethibiti katika Hadiyth ya Ibn ´Abbaas na nyenginezo ambazo zimepokelewa na al-Bukhaariy na wengineo. Imetajwa katika “Swahiyh Sunan Abiy Daawuud” (1216, 1218 na 1228).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (01/383)
Imechapishwa: 30/03/2021
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/01-hadiyth-hakika-mtume-swalla-allaahu-alayhi-wa-sallam-alikuwa-anapomaliza-kuswali-ishaa/