Swali: Mimi ni kijana mwenye msimamo ninayesibiwa na jambo siku zote, jambo lenyewe ni wasiwasi na mawazo kuhusu dhati ya Allaah (´Azza wa Jall). Je, nina dhambi juu ya hilo?
Jibu: Unapoanza kuhisi hilo jaribu kuachana na fikira hizo na mtake Allaah kinga dhidi ya shaytwaan aliyefukuzwa. Kwa idhini ya Allaah yataisha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
- Imechapishwa: 03/11/2017
Swali: Mimi ni kijana mwenye msimamo ninayesibiwa na jambo siku zote, jambo lenyewe ni wasiwasi na mawazo kuhusu dhati ya Allaah (´Azza wa Jall). Je, nina dhambi juu ya hilo?
Jibu: Unapoanza kuhisi hilo jaribu kuachana na fikira hizo na mtake Allaah kinga dhidi ya shaytwaan aliyefukuzwa. Kwa idhini ya Allaah yataisha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
Imechapishwa: 03/11/2017
https://firqatunnajia.com/wasiwasi-na-mawazo-juu-ya-dhati-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)