Swali: Inajuzu kwa mwanamke wakati wa kufunga ndoa kuweka sharti ya kutoongezewa mwanamke juu yake?
Jibu: Hapana. Asikataze kitu cha halali. Lakini hata hivyo aweke sharti ya uadilifu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
- Imechapishwa: 03/11/2017
Swali: Inajuzu kwa mwanamke wakati wa kufunga ndoa kuweka sharti ya kutoongezewa mwanamke juu yake?
Jibu: Hapana. Asikataze kitu cha halali. Lakini hata hivyo aweke sharti ya uadilifu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
Imechapishwa: 03/11/2017
https://firqatunnajia.com/mwanamke-anaweka-sharti-ya-kutoongezewa-mke-mwengine-juu-yake/