Swali 23: Wako baadhi ya watu ambao wanalala na kuacha swalah kwa kukusudia na wanatumia hoja maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Kalamu imenyanyuliwa kwa watu aina tatu; aliyelala mpaka anapoamka… ”[1]
Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Hadiyth inamkusudia yule ambaye hakuzembea. Kuhusu mtu ambaye anafanya uzembe haweki alamu wala haiambii familia yake kumuamsha anapata dhambi. Kwa sababu amezembea kutekeleza kitu ambacho Allaah amemuwajibishia.
[1] Abu Daawuud (4405) na Ahmad (1362). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”al-Irwaa’” (2/5).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 36
- Imechapishwa: 24/10/2018
Swali 23: Wako baadhi ya watu ambao wanalala na kuacha swalah kwa kukusudia na wanatumia hoja maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Kalamu imenyanyuliwa kwa watu aina tatu; aliyelala mpaka anapoamka… ”[1]
Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Hadiyth inamkusudia yule ambaye hakuzembea. Kuhusu mtu ambaye anafanya uzembe haweki alamu wala haiambii familia yake kumuamsha anapata dhambi. Kwa sababu amezembea kutekeleza kitu ambacho Allaah amemuwajibishia.
[1] Abu Daawuud (4405) na Ahmad (1362). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”al-Irwaa’” (2/5).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 36
Imechapishwa: 24/10/2018
https://firqatunnajia.com/wanalala-na-kupitwa-na-swalah-na-hoja-eti-wamepewa-udhuru/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)