Swali: Baadhi ya watu wanasema “waacheni watu waamini yale wanayotaka, Uislamu umempa mtu khiyari ya kuamini”.
Jibu: Huu ni uongo. Uislamu haukubaliani na imani za kikafiri. Unazipinga na kuwapiga vita wenye nazo mpaka waamini. Huu ndio Uislamu. Ni kwa nini Jihaad katika njia ya Allaah imewekwa? Si jingine isipokuwa ni kwa sababu ya kutokomeza mbali shirki na kuinusuru Tawhiyd na dini ya Allaah (´Azza wa Jall). Uislamu haukubaliani na imani batili. Kinyume chake unazipinga na kuwapiga vita wenye nazo pale watapolingania kwazo na kuendelea juu yazo na kuzitetea.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-1-18.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Baadhi ya watu wanasema “waacheni watu waamini yale wanayotaka, Uislamu umempa mtu khiyari ya kuamini”.
Jibu: Huu ni uongo. Uislamu haukubaliani na imani za kikafiri. Unazipinga na kuwapiga vita wenye nazo mpaka waamini. Huu ndio Uislamu. Ni kwa nini Jihaad katika njia ya Allaah imewekwa? Si jingine isipokuwa ni kwa sababu ya kutokomeza mbali shirki na kuinusuru Tawhiyd na dini ya Allaah (´Azza wa Jall). Uislamu haukubaliani na imani batili. Kinyume chake unazipinga na kuwapiga vita wenye nazo pale watapolingania kwazo na kuendelea juu yazo na kuzitetea.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-1-18.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/waacheni-watu-waamini-wanachokitaka%e2%80%82%e2%80%82/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)