Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kupinga Allaah kuwepo juu ya ´Arshi; anakufuru au hakufuru?
Jibu: Anakufuru. Akisema kuwa Allaah yuko kila mahali anakufuru. Kwa sababu atakuwa ni mwenye kumkadhibisha Allaah, Mtume Wake na makubaliano ya waislamu. Waislamu wote wamekubaliana kuwepo juu kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala), juu ya viumbe vyote. Huyu atakuwa ni katika Huluuliyyah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-1-18.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kupinga Allaah kuwepo juu ya ´Arshi; anakufuru au hakufuru?
Jibu: Anakufuru. Akisema kuwa Allaah yuko kila mahali anakufuru. Kwa sababu atakuwa ni mwenye kumkadhibisha Allaah, Mtume Wake na makubaliano ya waislamu. Waislamu wote wamekubaliana kuwepo juu kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala), juu ya viumbe vyote. Huyu atakuwa ni katika Huluuliyyah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-1-18.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/kwanini-asikufurishwe-mwenye-kusema-allaah-yuko-kila-mahali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)