Swali: Je, ni kafiri mtu anayemsujudia asiyekuwa Allaah, anachinja kwa ajili ya asiyekuwa Allaah na anaweka nadhiri kwa asiyekuwa Allaah na anashuhudia ya kwamba hapana mola mwenye haki ya kuabudiwa isipokuwa Allaah?
Jibu: Bila ya shaka yoyote. Ikiwa anakusudia mambo haya na anajua kuwa kuchinja ni ´ibaadah na kumsujudia asiyekuwa Allaah vilevile ni ´ibaadah na akamfanyia haya asiyekuwa Allaah, hakuna shaka yoyote juu ya ukafiri wa huyu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-1-18.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Je, ni kafiri mtu anayemsujudia asiyekuwa Allaah, anachinja kwa ajili ya asiyekuwa Allaah na anaweka nadhiri kwa asiyekuwa Allaah na anashuhudia ya kwamba hapana mola mwenye haki ya kuabudiwa isipokuwa Allaah?
Jibu: Bila ya shaka yoyote. Ikiwa anakusudia mambo haya na anajua kuwa kuchinja ni ´ibaadah na kumsujudia asiyekuwa Allaah vilevile ni ´ibaadah na akamfanyia haya asiyekuwa Allaah, hakuna shaka yoyote juu ya ukafiri wa huyu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-1-18.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/kwanini-asikufurishwe-mwenye-kufanya-mambo-haya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)