Swali: Myahudi au mnaswara akifa ahukumiwe kwa dhati yake kwamba ni mtu wa Motoni?
Jibu: Allaah hakukukalifisha kwa hili. Hujui ghaibu. Pengine alitubia kabla ya kufa kwake. Usihukumu mtu kwa dhati yake ya kwamba ni mtu wa Motoni au wa Peponi isipokuwa kwa dalili kutoka katika Qur-aan au Sunnah. Tunaratajia Pepo kwa mtenda mazuri na tunakhofia Moto kwa watenda maovu. Hatumkatii yeyote hukumu ya Pepo wala Moto isipokuwa yule aliyeshuhudiliwa na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Allaah hakukukalifisha jambo hili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-1-18.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Myahudi au mnaswara akifa ahukumiwe kwa dhati yake kwamba ni mtu wa Motoni?
Jibu: Allaah hakukukalifisha kwa hili. Hujui ghaibu. Pengine alitubia kabla ya kufa kwake. Usihukumu mtu kwa dhati yake ya kwamba ni mtu wa Motoni au wa Peponi isipokuwa kwa dalili kutoka katika Qur-aan au Sunnah. Tunaratajia Pepo kwa mtenda mazuri na tunakhofia Moto kwa watenda maovu. Hatumkatii yeyote hukumu ya Pepo wala Moto isipokuwa yule aliyeshuhudiliwa na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Allaah hakukukalifisha jambo hili.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-1-18.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kumhukumu-kafiri-kwa-dhati-yake-moto-baada-ya-kufa-kwake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)