Swali: Sisi tuna ada nayo ni kwamba, anapofariki maiti wanawake hukutana na kukusanya pesa kiwango fulani na kumpa mwanamke mfiwa. Je, kitendo hichi kinajuzu?

Jibu: Ikiwa watu wa nyumba hii walofiwa ni mafukara na mnataka kuwasaidia, hili ni jambo zuri. Ama ikiwa ni matajiri, hapana kwa kuwa hakuna haja ya kufanya hivo. Itazingatiwa kuwa ni Bid´ah.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-1-18.mp3
  • Imechapishwa: 20/08/2020