Huu ndio mwezi wa msamaha. Atasamehewa lini yule ambaye hakusamehewa Ramadhaan? Ni hasara kubwa. Lakini mwenye furaha ni yile aliyewafikishwa na Allaah na akajirekebisha. Himdi zote zinamstahikia Allaah kuona milango ya Pepo hufunguliwa na milango ya Moto hufungwa na shaytwaan hufungwa. Kila usiku kunasemwa:
“Ee mwenye kutaka kheri fika! Ee mwenye kutaka shari koma! Kuna watu Allaah huwaachia huru na Moto. Hilo linakuwa kila usiku.”
Hizi ni fadhila kubwa. Tunamuomba Allaah atutunukie nazo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ramadhan%201-9-1436.mp3
- Imechapishwa: 19/05/2020
Huu ndio mwezi wa msamaha. Atasamehewa lini yule ambaye hakusamehewa Ramadhaan? Ni hasara kubwa. Lakini mwenye furaha ni yile aliyewafikishwa na Allaah na akajirekebisha. Himdi zote zinamstahikia Allaah kuona milango ya Pepo hufunguliwa na milango ya Moto hufungwa na shaytwaan hufungwa. Kila usiku kunasemwa:
“Ee mwenye kutaka kheri fika! Ee mwenye kutaka shari koma! Kuna watu Allaah huwaachia huru na Moto. Hilo linakuwa kila usiku.”
Hizi ni fadhila kubwa. Tunamuomba Allaah atutunukie nazo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ramadhan%201-9-1436.mp3
Imechapishwa: 19/05/2020
https://firqatunnajia.com/utasamehewa-lini-kama-hukusamehewa-mwezi-huu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)