Swali: Inajuzu kufuga makucha kwa ajili ya mapambo?
Jibu: Hapana. Mambo matano ni katika maumbile moja wapo ni kukata kucha. Haifai kwake kuyaacha yakakuwa marefu. Ni katika sifa ya wanyama. Akate makucha yake kila wiki au kwa kulingana, masharubu yake na aondoshe nywele za kwapani na za sehemu za siri. Asiziache zikakuwa. Ni katika maumbile, kama alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuziacha zikakuwa ni katika kujifananisha na makafiri na wapotevu. Kuna watu wanaoitwa “hippies”. Hawakati si nywele wala kucha zao. Wako kama wanyama. Uchafu na taka imewaambata. Wamekuwa wamabaya. Unataka kujifananisha na hippies?
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir%20ayat-03-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Inajuzu kufuga makucha kwa ajili ya mapambo?
Jibu: Hapana. Mambo matano ni katika maumbile moja wapo ni kukata kucha. Haifai kwake kuyaacha yakakuwa marefu. Ni katika sifa ya wanyama. Akate makucha yake kila wiki au kwa kulingana, masharubu yake na aondoshe nywele za kwapani na za sehemu za siri. Asiziache zikakuwa. Ni katika maumbile, kama alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuziacha zikakuwa ni katika kujifananisha na makafiri na wapotevu. Kuna watu wanaoitwa “hippies”. Hawakati si nywele wala kucha zao. Wako kama wanyama. Uchafu na taka imewaambata. Wamekuwa wamabaya. Unataka kujifananisha na hippies?
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir%20ayat-03-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/unataka-kujifananisha-na-hippies/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)