Swali: Ni ipi hukumu ya swalah ya mwanamke na huku amefunua mikono yake?
Jibu: Swalah yake si sahihi. Mwili mzima wa mwanamke hautakiwi kuonekana katika swalah isipokuwa uso wake ikiwa mbele yake hakuna wanaume ambao sio Mahram. Hatakiwi kuonyesha kitu katika mwili wake wakati wa swalah. Akifanya hivo swalah yake inabatilika. Kufunika ´Awrah ni miongoni mwa masharti ya kusihi kwa swalah – mwili wote wa mwanamke ni katika swalah ni ´Awrah isipokuwa uso wake midhali mbele yake hakuna wanaume ambao si Mahram zake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir%20ayat-03-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya swalah ya mwanamke na huku amefunua mikono yake?
Jibu: Swalah yake si sahihi. Mwili mzima wa mwanamke hautakiwi kuonekana katika swalah isipokuwa uso wake ikiwa mbele yake hakuna wanaume ambao sio Mahram. Hatakiwi kuonyesha kitu katika mwili wake wakati wa swalah. Akifanya hivo swalah yake inabatilika. Kufunika ´Awrah ni miongoni mwa masharti ya kusihi kwa swalah – mwili wote wa mwanamke ni katika swalah ni ´Awrah isipokuwa uso wake midhali mbele yake hakuna wanaume ambao si Mahram zake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir%20ayat-03-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-mwanamke-mikono-wazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)