Swali: Ni ipi hukumu ya kutazama taarifa ya khabari pamoja na kujua ya kwamba anayeleta utangulizi wa khabari ni mwanamke?
Jibu: Hamkutenzwa nguvu kutazama khabari. Unafaidika nini kwa kutazama khabari? Kuna radio ambayo inatoa taarifa ya khabari bila ya picha. Sikiliza kupitia radio.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (49) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-5-13.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket