Swali: Ni ipi tofauti kati ya mtu anayepewa ahadi na anayepewa amani?
Jibu: Anayepewa ahadi ni yule ambaye kati yetu sisi na wao kuna ahadi (mkataba). Ama kuhusu anayepewa amani, hakuna baina yetu sisi na wao ahadi. Lakini ameingia nchi yetu kwa kuchukua idhini kutoka kwa mtawala. Ameingia nchini mwa idhini na sio kwa ahadi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (49) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-5-13.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Ni ipi tofauti kati ya mtu anayepewa ahadi na anayepewa amani?
Jibu: Anayepewa ahadi ni yule ambaye kati yetu sisi na wao kuna ahadi (mkataba). Ama kuhusu anayepewa amani, hakuna baina yetu sisi na wao ahadi. Lakini ameingia nchi yetu kwa kuchukua idhini kutoka kwa mtawala. Ameingia nchini mwa idhini na sio kwa ahadi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (49) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-5-13.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/tofauti-kati-ya-mpewa-ahadi-na-amani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)