Swali: Tunafanya kazi ya kukodisha vifaa. Baada ya kumalizika kwa kazi anaomba wakala kuandika kiwango cha juu zaidi katika bili kuliko uhalisia. Kwa mfano makubaliano ni pesa 500 basi anaomba kuandika pesa 600 katika bili…
Jibu: Hili halijuzu. Ni haramu. Huu ni uongo na ulaghai na haijuzu. Usiandike isipokuwa uhalisia wa mambo, sawa na biashara yenyewe, na usizidishe kitu ukaja kudhulumu kampuni na mfanya kazi. Andika kama mambo yalivyo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (84) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17577
- Imechapishwa: 13/02/2021
Swali: Tunafanya kazi ya kukodisha vifaa. Baada ya kumalizika kwa kazi anaomba wakala kuandika kiwango cha juu zaidi katika bili kuliko uhalisia. Kwa mfano makubaliano ni pesa 500 basi anaomba kuandika pesa 600 katika bili…
Jibu: Hili halijuzu. Ni haramu. Huu ni uongo na ulaghai na haijuzu. Usiandike isipokuwa uhalisia wa mambo, sawa na biashara yenyewe, na usizidishe kitu ukaja kudhulumu kampuni na mfanya kazi. Andika kama mambo yalivyo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (84) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17577
Imechapishwa: 13/02/2021
https://firqatunnajia.com/ulaghai-wa-bili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)