Swali: Takbiyr katika yale masiku ya kuchinja inakuwa baada ya swalah pekee au ni kila wakati?
Jibu: Maoni sahihi ni kwamba Takbiyr katika yale masiku ya kuchinja imependekezwa kuileta kila wakati. Allaah (Ta´ala) ameelekeza hilo katika Qur-aan katika Kitabu kitukufu:
وَاذْكُرُوا اللَّـهَ فِي أَيَّامٍ مَّعْدُودَاتٍ
“Mdhukuruni Allaah katika zile siku zinazohesabika.”[1]
[1] 02:203
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (73) http://binothaimeen.net/content/1676
- Imechapishwa: 25/09/2020
Swali: Takbiyr katika yale masiku ya kuchinja inakuwa baada ya swalah pekee au ni kila wakati?
Jibu: Maoni sahihi ni kwamba Takbiyr katika yale masiku ya kuchinja imependekezwa kuileta kila wakati. Allaah (Ta´ala) ameelekeza hilo katika Qur-aan katika Kitabu kitukufu:
وَاذْكُرُوا اللَّـهَ فِي أَيَّامٍ مَّعْدُودَاتٍ
“Mdhukuruni Allaah katika zile siku zinazohesabika.”[1]
[1] 02:203
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (73) http://binothaimeen.net/content/1676
Imechapishwa: 25/09/2020
https://firqatunnajia.com/takbiyr-katika-masiku-ya-kuchinja-ni-kila-wakati/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)