Swali: Imepokelewa kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiwabusu wakeze kisha anaenda kuswali na wala hatawadhi. Ni yepi maoni yenye nguvu kuhusu kumgusa mwanamke kama kunachengua wudhuu´ au hapana?
Jibu: Kugusa kwa kutamani kunachengua wudhuu´. Maalikiyyah wanaona kuwa kumgusa kunachengua wudhuu´ ijapo mtu hakugusa kwa kutamani.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (106) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoul%20lahfan-%2027-03-1441.mp3
- Imechapishwa: 25/09/2020
Swali: Imepokelewa kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiwabusu wakeze kisha anaenda kuswali na wala hatawadhi. Ni yepi maoni yenye nguvu kuhusu kumgusa mwanamke kama kunachengua wudhuu´ au hapana?
Jibu: Kugusa kwa kutamani kunachengua wudhuu´. Maalikiyyah wanaona kuwa kumgusa kunachengua wudhuu´ ijapo mtu hakugusa kwa kutamani.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (106) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoul%20lahfan-%2027-03-1441.mp3
Imechapishwa: 25/09/2020
https://firqatunnajia.com/maalikiyyah-kumgusa-mwanamke-baada-ya-kutawadha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)