Swali: Mwenye kuingia msikitini na muadhini anaadhini amfuate muadhini au aswali moja kwa moja Tahiyyat-ul-Masjid?
Jibu: Ikiwa anahitaji kukaa baada tu ya adhaana ili aweze kusikiliza mawaidha au darsa aswali Sunnah hiyo na huku muadhini anaadhini. Hakuna neno kwa sababu aweze kupata nafasi baada ya adhaana kwa ajili ya kusikiliza darsa au mfano wa hayo. Ikiwa sio kwa lengo hilo anachotakiwa ni kumfuata muadhini. Pindi atapomaliza ndipo aswali Tahiyyat-ul-Masjid.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/27-06-1438h.mp3
- Imechapishwa: 16/07/2017
Swali: Mwenye kuingia msikitini na muadhini anaadhini amfuate muadhini au aswali moja kwa moja Tahiyyat-ul-Masjid?
Jibu: Ikiwa anahitaji kukaa baada tu ya adhaana ili aweze kusikiliza mawaidha au darsa aswali Sunnah hiyo na huku muadhini anaadhini. Hakuna neno kwa sababu aweze kupata nafasi baada ya adhaana kwa ajili ya kusikiliza darsa au mfano wa hayo. Ikiwa sio kwa lengo hilo anachotakiwa ni kumfuata muadhini. Pindi atapomaliza ndipo aswali Tahiyyat-ul-Masjid.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/27-06-1438h.mp3
Imechapishwa: 16/07/2017
https://firqatunnajia.com/tahiyyat-ul-masjid-kwanza-au-kumfuata-muadhini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)