Swali: Kuna mwanamke anasema kuwa anataka kumlea mtoto wa kiume mdogo aliye na miezi sita. Anauliza kama inafaa kutumia sindano au dawa kwa ajili ya kuleta maziwa na kumnyonyesha mtoto huyu ili awe Mahram wake katika mustaqbal?
Jibu: Hapana. Haijuzu kufanya hivo. Akiwa na maziwa na mtoto akawa anahitajia kwa sababu hajaanza kula chakula. Katika hali hii amfanyie wema na amnyonyeshe. Anakuwa Mahram wake akifikisha kiwango cha unyonyeshaji. Ama ikiwa ni uonyonyeshaji wa hila haijuzu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/27-06-1438h.mp3
- Imechapishwa: 16/07/2017
Swali: Kuna mwanamke anasema kuwa anataka kumlea mtoto wa kiume mdogo aliye na miezi sita. Anauliza kama inafaa kutumia sindano au dawa kwa ajili ya kuleta maziwa na kumnyonyesha mtoto huyu ili awe Mahram wake katika mustaqbal?
Jibu: Hapana. Haijuzu kufanya hivo. Akiwa na maziwa na mtoto akawa anahitajia kwa sababu hajaanza kula chakula. Katika hali hii amfanyie wema na amnyonyeshe. Anakuwa Mahram wake akifikisha kiwango cha unyonyeshaji. Ama ikiwa ni uonyonyeshaji wa hila haijuzu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/27-06-1438h.mp3
Imechapishwa: 16/07/2017
https://firqatunnajia.com/anataka-kutumia-dawa-ya-kuleta-maziwa-kifuani-kwa-lengo-la-kumnyonyesha-mtoto-asiyekuwa-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)