Swali: Mwanamke amezowea kupata hedhi yake siku saba mwanzoni mwa mwezi. Hedhi ikamjia kwa siku zake lakini hata hivyo kukazidi siku mbili na damu imebadilika na haina sifa ya hedhi. Lipi linalomlazimu?
Jibu: Maadamu haikukatika ni hedhi. Siku zinaweza kuzidi. Siku za hedhi zinaweza kuzidi midhali haikukatika bali imekamatana na hedhi, ni hedhi hata kama itakuwa damu kidogo. Hata damu ya rangi ya zanbarau [uchafu] na umanjano ikikamatana na hedhi na isikatike bado anahesabika kuwa yuko na hedhi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-16.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Mwanamke amezowea kupata hedhi yake siku saba mwanzoni mwa mwezi. Hedhi ikamjia kwa siku zake lakini hata hivyo kukazidi siku mbili na damu imebadilika na haina sifa ya hedhi. Lipi linalomlazimu?
Jibu: Maadamu haikukatika ni hedhi. Siku zinaweza kuzidi. Siku za hedhi zinaweza kuzidi midhali haikukatika bali imekamatana na hedhi, ni hedhi hata kama itakuwa damu kidogo. Hata damu ya rangi ya zanbarau [uchafu] na umanjano ikikamatana na hedhi na isikatike bado anahesabika kuwa yuko na hedhi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-16.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/siku-mbili-zimezidi-juu-ya-ada-alozowea-kupata/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)