Imamu akipatwa na hadathi basi anaweza kuchagua moja katika yafuatayo:
1 – Akiwa karibu na mahali pa kutawadha, basi awaashirie watu wabaki katika swalah yao kama walivyo kisha yeye atatawadha, atarudi na atajengea pale alipokomea.
2 – Lisipowezekana jambo hilo, atamuashiria mmoja nyuma yake ashike nafasi yake ili awakamishie swalah yao.
3 – Kila mmoja akamilishe swalah yake kivyake.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 141
- Imechapishwa: 02/07/2022
Imamu akipatwa na hadathi basi anaweza kuchagua moja katika yafuatayo:
1 – Akiwa karibu na mahali pa kutawadha, basi awaashirie watu wabaki katika swalah yao kama walivyo kisha yeye atatawadha, atarudi na atajengea pale alipokomea.
2 – Lisipowezekana jambo hilo, atamuashiria mmoja nyuma yake ashike nafasi yake ili awakamishie swalah yao.
3 – Kila mmoja akamilishe swalah yake kivyake.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 141
Imechapishwa: 02/07/2022
https://firqatunnajia.com/pindi-unapochenguka-wudhuu-wa-imamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)