Swali 34: Wakati myemeni anapofika Marekani basi wanaomjua wanampa pesa kwa mnasaba wa kufika kwake. Je, azirudishe nazo ni katika haramu?
Jibu: Tayari tumeshajibu jibu swali hili. Uchaji zaidi ni yeye kutozipokea. Akiwa ni mwenye kuzihitajia basi dhambi ni kwa wale wenye kuyafanya moja kwa moja. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akitaamiliana na mayahudi pamoja na kuwa anatambua kuwa wanakula ribaa.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tuhfat-ul-Mujiyb, uk. 72
- Imechapishwa: 28/12/2019
Swali 34: Wakati myemeni anapofika Marekani basi wanaomjua wanampa pesa kwa mnasaba wa kufika kwake. Je, azirudishe nazo ni katika haramu?
Jibu: Tayari tumeshajibu jibu swali hili. Uchaji zaidi ni yeye kutozipokea. Akiwa ni mwenye kuzihitajia basi dhambi ni kwa wale wenye kuyafanya moja kwa moja. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akitaamiliana na mayahudi pamoja na kuwa anatambua kuwa wanakula ribaa.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tuhfat-ul-Mujiyb, uk. 72
Imechapishwa: 28/12/2019
https://firqatunnajia.com/pesa-anazopewa-mkimbizi-anapofika-nji-za-makafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)